Header Ads

TIBA MBADALA KWA MAGONJWA NA USHAURI


Tokeo la picha la tatizo la umee kuishiwa nguv

KWANINI MTU ANAKOSA NGUVU ZA KIUME:
Endapo mwanaume anashindwa
kusimamisha uume (penis),uumekukosa
nguvu ya kutosha kuingia ndani ya
mwanamke au kushindwa kurudia tendo
la ndoa baada ya kumaliza bao moja
(kukojoa mara moja), huyu tuna mwita
anaupungufu wa nguvu za kiume
(importency).
Kusima kwa uume kunatokana na mapigo
ya moyo kupanda baada ya mtu kupata
ashki ya kufanya tendo la ndoa(sex
arousal), hivyo basi moyo husukuma
damu nyingi kuelekea sehemu za uzazi
ambayo damu hio huijaza mishipa
midogomidogo ya damu (sponge-like
bodies) inayotengeneza uume(penis).
Sababu zinazosababisha tatizo la nguvu za
kiume zinawekwa katika makundi mawili.
*Matatizo ya kiafya ya mwili (organic
causes).
* Matatizo ya kisaikologia ( Psychological
cause).
MATATIZO YA KIAFYA NI KAMA:
>Magonjwa ya kisukari, (diabetes mellitus).
> Ugonjwa wa presha (blood pressure).
> Matatizo ya tezi dume (kama mtu
amewahifanyiwa operation)
(prostatectomy surgery),
> Upungufu au mvurugiko wa uzalishaji
Homoni za uzazi (hormonal insufficiencies
/hypogonadism).
> Athari za matumizi ya dawa kwa muda
mrefu (drug side effect).
Matatizo haya kwa pamoja hupelekea
mishipa ya damu kuziba na mwishowe
misuli inakosa ngu za kuwezakusimama
na hatimae uume husinyaa.
TATIZO LA KIFIKWA (Psychological reasons),
Mtu anaweza shindwa kusimamisha uume
kutokana na matatizo ya kimawazo, kama
vile migogoro katika mahusiano, matatizo
ya kimaisha, tatizo hili hupelekea
wanaume wengi kukojoa kwa haraka sana
hali ambayo haileti raha.Lakini linatibika.
DALILI ZA TATIZO HILI:
>Kushindwa kusimamisha uume mara kwa
mara,
> Uume kulala(kusinyaa)katikati ya tendo
la ndoa.
> kushindwa kusimamisha ipasavyo.
> Kukojoa haraka mara baada ya kuanza
kujamiiana. Au kukaa muda mrefu sana
bila kukuojoa.
> Maumivu ya misuli ya uume wakati wa
tendo la ndoa.
SABABU ZA UGONJWA HUU:
*kisukari (diabetes)
*presha (blood pressure)
*matatizo yafigo (kidney disorders)
*matatizo ya kisaikologia(psychological
cause).
* upungufu wa homoni za uzazi
(hormonal insufficiencies).
* Matumizi ya dawa kwa muda mrefu
(drug side effect).
* Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe
kupita kiasi.
* matatizo ya tezi dume.
TIBA Ya TATIZO:
Tatizo hili linahitaji vidonge aina ya OCEAN
PLUS, GOLDEN YESTER CASULES na ALOE
CAPSULES.
Dawa hizi ziko imara sana katika kuamsha
na kuzibua mishipa ya damu ilioziba,
kubalansi homoni za uzazi na kutoa sumu
zilizopatikana kutokana na kutumia dawa
kwa muda mrefu. Kazi ya dawa hizi ni
kutibu sio kuongeza nguvu za kiume tu
bali zinatibu tatizo la mfumo mzima,hivyo
basi unapomaliza dose yako hutahitaji
kurudia tena kutumia.
Hizi ni dawa zinazotokana na mimea
pamoja na viumbe hai ,zimewekwa katika
mfumo lahisi na salama wa Vidonge.
Havina madhara kwa matumizi ya
binadamu.
Ndugu yangu achana sasa na matumizi ya
vidonge vya kuongezea nguvu za kiume
(viagra), maana baadae hutaweza kabisa
kusimamisha.
Kwa wale ambao bado wana sumbuliwa
na kisukari au pressure itatubidi tutibu
kwanza matatizo hayo kisha tunamalizia
hili la pili.
Wasiliana na mimi kwa ushauri au tiba
kwa kupiga simu namb 

 0765203999

No comments:

Powered by Blogger.