Header Ads

Vyakula 5 vya kula kila siku


Je unafahamu vyakula unavyotakiwa kula kila siku?
Kati ya vyakula unavyotakiwa kula kila siku ili kuboresha afya ni
  • Apple 1: Punguza magonjwa, boresha kinga
  • Chai (green tea): Punguza magonjwa ya moyo, saratani na kiharusi
  • Limao 1: Punguza mafuta mwilini
  • Kikombe 1 cha maziwa: Kuboresha mifupa
  • Lita 3 za maji: Linda mwili, ondoa magonjwa

No comments:

Powered by Blogger.